Loading...
Kutuhusu sisi

KARIBU UWATA

DIRA YETU

Kuwa jumuiya ya Kiroho ya watu waliotubu dhambi na kuziacha, wakiutunza utakatifu na kudumu katika kutenda mema pamoja na kujishughulisha na kazi za kijamii na kiuchumi hatimaye kuurithi uzima wa milele.

DHAMIRA YETU

Jumuiya imedhamiria kuwahubiri watu watubu dhambi zao na kuziacha na kuwafundisha walielewe, waliamini, walitii na kulitenda Neno la Mungu pamoja na kufanya kazi za kijamii na kiuchumi kwa bidii na maarifa.

HOSPITALI YA UWATA

SHULE YA MSINGI CENTA

UWATA SACCOSS

SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA

SHULE YA MSINGI LUPALILO

SHULE YA MSINGI MADALE

Soma zaidi
Huduma

HUDUMA TUTOAZO

UWATA SACCOS
WEKEZA AMANA UHUDUMIWE.

"JIWEKEE AKIBA MAPEMA UNUFAIKE"

saccos@uwata.or.tz
(+255) 255756016816
UWATA STUDIO
KARIBU KWA AUDIO NA VIDEO ZA VIWANGO.

"UWATA GLORY SOUNDS STUDIO"

studio@uwata.or.tz
(+255) 255756016816
UWATA WAVULANA
Karibu kwa elimu ya upili yenye viwango

"ELIMU BORA NI RASILIMALI ENDELEVU"

uwatambeya_bhs@uwata.or.tz
(+255) 252560170 / 759-243753
UWATA MADALE
Shule ya awali na msingi mchepuo wa kiingereza.

"MAADILI NA ELIMU BORA"

uwaamapri@uwata.or.tz
(+255) 762118835 / 784818373
HARRISON WASICHANA
Karibu kwa elimu ya upili yenye viwango.

"ELIMU BORA NI RASILIMALI ENDELEVU"

harrison_ughs@uwata.or.tz
(+255) 252560170 / 759-243753
UWATA

UWATA MAKAOMAKUU

Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.,

Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.,

Soma zaidi

WASILIANA NASI

For Kwa maelezo zaidi tafadhari wasiliana nasi.

Jarida Letu

2 Timotheo 2:19 Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.,